FALSE: Photo does not show the drought situation in Embolioi, Kajiado County, in October 2022
Wakenya sasa wameongeza ununuzi wa ndimu na kitunguu swaumu kwenye bajeti ya kwao ya kila siku.Wengine wanakimbilia watumishi makanisani nawengine madktari wa dawa za kienyeji yote hayakutafuta kinga dhidi ya korona. Watafanikiwa kwa hili? Sikiliza
Mradi wa kazi kwa vijana ulianzishwa hapa mukuru kama mojawapo ya ajenda zake rais uhuru kenya. Lakini je waliokusudiwa kupata hii kazi wataipata? Na je waliopatiwa jukumu la kuwasajili na kuwapa kazi vijana hawa watafuatilia
In the Mukuru slum in Nairobi, Kenya, Ruben FM (99.9 MHz), a community radio station, is sensitizing the community on the need to stay at home, and stay safe, and that COVID-19 can affect them