FALSE: Photo does not show the drought situation in Embolioi, Kajiado County, in October 2022
Wafanyabiashara katika eneo la Reli Mukuru jijini Nairobi wanalalamikia hali duni ya usafi inayoshuhudiwa sokoni, hali inayochangiwa na taka zinazotupwa ovyo pamoja na ukosefu wa vyoo vya umma. Wanasema hali hii imekuwa tishio kubwa
Mafunzo ya siku tatu yanayolenga wafanyabiashara wa chakula na akina mama kuhusu usalama wa chakula yameanza leo katika kituo cha Ruben Centre, jijini Nairobi. Kupitia programu hii, washiriki wanahimizwa kuzingatia ubora na usafi wa
Fifteen years after we got the new Constitution, the big dreams it promised are still far from reality. It was meant to give us a government that listens to the people, respects our rights, and
Mradi wa Sanara , unaoungwa mkono na MasterCard Foundation, HEVA Fund, Baraza Media Lab, Ubuntu na Go Down Arts Centre umezindua leo mradi utakaowafunza vijana namna ya kutumia vipaji vyao kujiendeleza kimaisha na hata kupata
Visa viwili vya moto vimetokea ndani ya masaa machache eneo la Ruben katika maeneo tofauti ikiwemo iliyoripotiwa jana usiku huko Kosovo na ingine iliripotiwa leo asubuhi eneo la Bantu. Waathiriwa wa maeneo hayo wanasema wamepoteza
A fierce fire broke out around 7 p.m. today in the Diamond area of Kwa Rueben, leaving several house structures completely burnt down. The incident caused panic among residents as flames spread quickly through the
Faida za kiafya za tangawizi Je,wajua kuwa tangawizi inaweza ikamaliza tatizo la kichefuchefu na kutapika? Ndio, kukula vyakula vilivyo na tangawizi,chai au biskuti kunaweza kukaondoa kichefuchefu asubuhi kwa wajawazito,kuondoa kichefuchefu cha safari au cha baada
On International Youth Day, the world paused to celebrate the determination, creativity, and leadership of young people everywhere. This year’s global theme – “Local Youth Action for the SDGs and Beyond” – carried a powerful
Je,wajua kuwa kuchomwa au kudungwa na nyuki kunaweza sababisha kifo? Iwapo uko na allergy ya sumu ya nyuki ama bee venom,ukichomwa na nyuki, kinga yako ya mwili itarudi chini, hivyo basi kukusababishia hali inavyoitwa anaphylaxis
Wenyeji wa Kariobangi eneo la mukuru kwa Reuben waliamkia kisa cha kutamausha pale walipopata mizoga ya mbwa. Madai ni kwamba mbwa hao huenda kuwa wanachinjwa na kuuziwa wakaaazi. Wakaazi waliongeza na kusema kuwa kiini cha