• August 20, 2025

mbwa wanachinjwa na kuuziwa wakaaazi mukuru kwa Reuben

Wenyeji wa Kariobangi eneo la mukuru kwa Reuben waliamkia kisa cha kutamausha pale walipopata mizoga ya mbwa. Madai ni kwamba mbwa hao huenda kuwa wanachinjwa na kuuziwa wakaaazi. Wakaazi waliongeza na kusema kuwa kiini cha kitendo kile ni ukosefu wa kazi na hivyo kupelekea mbwa kuuwawa na kuuzwa wakazi bila ufahamu wao. Nilizungumza na John, Mwakilishi waa nyumba kumi ambaye alisema kuwa uchunguzi umeanzishwa na washukiwa wataweza kukamatwa…

Read Previous

π‘Όπ’π’”π’Šπ’π’†π’π’„π’†π’… π‘½π’π’Šπ’„π’†π’”: 𝑻𝒉𝒆 𝑩𝒂𝒕𝒕𝒍𝒆 𝒂𝒏𝒅 π‘»π’“π’Šπ’–π’Žπ’‘π’‰ 𝒐𝒇 π‘ͺπ’π’Žπ’Žπ’–π’π’Šπ’•π’š π‘΄π’†π’…π’Šπ’‚ 𝒐𝒏 𝑾𝒐𝒓𝒍𝒅 𝑷𝒓𝒆𝒔𝒔 π‘­π’“π’†π’†π’…π’π’Ž π‘«π’‚π’š

Read Next

Jinsi kuchomwa na nyuki huua

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Most Popular