• November 28, 2025
  1. Home
  2. Author Blogs

Author: Admin

Admin

General
Usafi soko la Reli Mukuru kwa Ruben

Usafi soko la Reli Mukuru kwa Ruben

  Wafanyabiashara katika eneo la Reli Mukuru jijini Nairobi wanalalamikia hali duni ya usafi inayoshuhudiwa sokoni, hali inayochangiwa na taka zinazotupwa ovyo pamoja na ukosefu wa vyoo vya umma. Wanasema hali hii imekuwa tishio kubwa

General
Mafunzo ya Usalama wa Chakula – Ruben Centre

Mafunzo ya Usalama wa Chakula – Ruben Centre

  Mafunzo ya siku tatu yanayolenga wafanyabiashara wa chakula na akina mama kuhusu usalama wa chakula yameanza leo katika kituo cha Ruben Centre, jijini Nairobi. Kupitia programu hii, washiriki wanahimizwa kuzingatia ubora na usafi wa

General
Illegal Abortions In Mukuru

Illegal Abortions In Mukuru

This story sheds light on the hidden reality of illegal abortions in Mukuru, where many women resort to unsafe procedures despite the grave risks involved. The focus is not on the safety or health of

General
Fifteen years KATIBA

Fifteen years KATIBA

Fifteen years after we got the new Constitution, the big dreams it promised are still far from reality. It was meant to give us a government that listens to the people, respects our rights, and

General
Mradi wa Sanara

Mradi wa Sanara

Mradi wa Sanara , unaoungwa mkono na MasterCard Foundation, HEVA Fund, Baraza Media Lab, Ubuntu na Go Down Arts Centre umezindua leo mradi utakaowafunza vijana namna ya kutumia vipaji vyao kujiendeleza kimaisha na hata kupata

General
Ksh.91.9 Million cdf bursary scandle in Embakasi south

Ksh.91.9 Million cdf bursary scandle in Embakasi south

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali iliyochapishwa jana tarehe 17 Agosti imeweka Mfuko wa Maendeleo ya Maeneo Bunge (CDF) wa Embakasi kusini chini ya darubini. Kulingana na matokeo, jumla ya shilingi

General
JANGA LA MOTO MUKURU KWA RUBEN

JANGA LA MOTO MUKURU KWA RUBEN

Visa viwili vya moto vimetokea ndani ya masaa machache eneo la Ruben katika maeneo tofauti ikiwemo iliyoripotiwa jana usiku huko Kosovo na ingine iliripotiwa leo asubuhi eneo la Bantu. Waathiriwa wa maeneo hayo wanasema wamepoteza

General
🚨 Breaking News: Evening Fire Razes Homes in Kwa Rueben’s Diamond Area

🚨 Breaking News: Evening Fire Razes Homes in Kwa Rueben’s Diamond Area

A fierce fire broke out around 7 p.m. today in the Diamond area of Kwa Rueben, leaving several house structures completely burnt down. The incident caused panic among residents as flames spread quickly through the

Latest News
Faida za kiafya za tangawizi

Faida za kiafya za tangawizi

Faida za kiafya za tangawizi Je,wajua kuwa tangawizi inaweza ikamaliza tatizo la kichefuchefu na kutapika? Ndio, kukula vyakula vilivyo na tangawizi,chai au biskuti kunaweza kukaondoa kichefuchefu asubuhi kwa wajawazito,kuondoa kichefuchefu cha safari au cha baada

General
International Youth Day 2025

International Youth Day 2025

On International Youth Day, the world paused to celebrate the determination, creativity, and leadership of young people everywhere. This year’s global theme – “Local Youth Action for the SDGs and Beyond” – carried a powerful