• April 20, 2024
  1. Home
  2. Author Blogs

Author: Admin

Admin

Latest News
mgao wa fedha kwa minajili ya kukuza afya katika jamii

mgao wa fedha kwa minajili ya kukuza afya katika jamii

Serikali za kaunti zimetakiwa kuhakikisha mgao wa fedha kwa minajili ya kukuza afya katika jamii zinatumika ipasavyo. Seneta mteule Veronica Maina ametoa changamoto kwa magavana kuhakikisha hapashuhudiwi ubathirifu wa pesa katika serikali zao, katika jitihada

General
State Of Roads In Mukuru

State Of Roads In Mukuru

Devolution in Kenya has brought in key aspects to the less fortunes to the residents from the extreme interior. It mostly focuses on the developments and accessibility of social services amongst the residents. We take

Sports
habari zetu za spoti

habari zetu za spoti

Hujambo msikilizaji wangu na natumai umeshinda vyema karibu kwenye habari zetu za spoti awamu ya mchana ukiletewa nami nahodha wako Amasi John aka beki nambari tatu mgongoni. Tukianza na taarifa za raga ni kwamba timu

General
DUMPING IN MUKURU

DUMPING IN MUKURU

Yes we are on the onset of the predicted weather by the meteorological department of Kenya about the EL Nino. How much has the county government of Nairobi and their residents, especially living in areas

General
Athari za Tabianchi kwa walemavu

Athari za Tabianchi kwa walemavu

Watu wenye ulemavu wana uwezekano wa kuaga dunia mara mbili hadi nne zaidi ya mtu wa kawaida au kujeruhiwa katika hali ya dharura , Zaidi ya hayo, watu wenye ulemavu katika misiba wanakabiliwa na changamoto

General
WORLD SAFE ABORTION DAY

WORLD SAFE ABORTION DAY

Kenya imejumuika na ulimwengu katika maadhimisho ya siku ya uavyaji mimba, mada ya mwaka huu ikiwa Utoaji mimba ni huduma ya afya, na afya ni haki ya binadamu.Ni siku ambayo imejiri huku kukiwa na midahalo

Latest News
VIKUNDI VYA USAFI MUKURU

VIKUNDI VYA USAFI MUKURU

Msukosuko na mabadiliko ya hali ya hewa  ni jambo la kimataifa na linahitaji jamii kutafuta utunzi wa mazingira kwa njia tofauti ili kuitimisha malengo hayo. Njia hizi zitawezesha jamii kuchukulia wajibu na hatua mwafaka kwani ulimwengu unajengwa kupitia

General
Kangaroo Courts

Kangaroo Courts

Haki ya afya ni haki ya kimsingi ya binadamu iliyohakikishwa katika Katiba ya Kenya. Kifungu cha 43 (1) (a) cha Katiba kinatamka kwamba kila mtu ana haki ya kupata kiwango cha juu cha afya kinachoweza

General
Ganda La Muwa

Ganda La Muwa

Ni sauti ya rais William Ruto akizungumza Februari 22, 2023 eneo la Korogocho, kaunti ya Nairobi wakati wa uzinduzi wa tume ya kuangazia usafi wa mito na mazingira kwa ujumla maarufu kama Nairobi Rivers Commission.

General
Research on systemic barriers towards access and usage of housing finance in Kenya

Research on systemic barriers towards access and usage of housing finance in Kenya

"Utafiti wa vikwazo vya kimfumo kwenye upatikanaji na matumizi ya fedha za makazi nchini Kenya", yaani kwa lugha ya kimombo Research on systemic barriers towards access and usage of housing finance in Kenya ni Ripoti